Msaidizi Wa Hesabu at Halmashauri ya Mji Bariadi

Msaidizi Wa Hesabu at Halmashauri ya Mji Bariadi

POST MSAIDIZI WA HESABU II – 1 POST

POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING
EMPLOYER Halmashauri ya Mji Bariadi
APPLICATION TIMELINE: 2020-09-01 2020-09-14
JOB SUMMARY N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kuandika na kutunza register zinazohusu shughuli za uhasibu;

ii. Kuandika hati za malipo na hati za mapokezi ya fedha;

iii. Kutunza majalada yenye kumbukumbu za hesabu;

iv. Kupeleka barua /nyaraka za uhasibu Benki;

v. Kufanya usuluhisho wa masurufu,karadha,Hesabu za Benki na Amana; na

vi. Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wenye Astashahada ya Uhasibu kutoka chuo kinachotambulika na Serikali au cheti cha ATEC level I kinachotolewa na NBAA, au sifa nyingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA.
REMUNERATION TGS B

The post Msaidizi Wa Hesabu at Halmashauri ya Mji Bariadi appeared first on JobwebTanzania.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright AJIRA Published.. Blogger Templates
Back To Top